5 Mwanamume fulani, Myahudi, alikuwa katika ngome ya Shushani,+ jina lake lilikuwa Mordekai+ mwana wa Yairi mwana wa Shimei mwana wa Kishi, Mbenyamini,+
7 Basi Mfalme Ahasuero akamwambia Malkia Esta na Mordekai Myahudi: “Tazama! Nimempa Esta+ nyumba ya Hamani, naye wamemtundika mtini,+ kwa sababu alinyoosha mkono wake juu ya Wayahudi.