Mwanzo 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na baada ya hayo Abrahamu akamzika Sara mke wake katika pango la shamba la Makpela mbele ya Mamre, yaani, Hebroni, katika nchi ya Kanaani.+ Mwanzo 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 lile shamba ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kutoka kwa wana wa Hethi. Hapo Abrahamu akazikwa, na pia Sara mke wake.+
19 Na baada ya hayo Abrahamu akamzika Sara mke wake katika pango la shamba la Makpela mbele ya Mamre, yaani, Hebroni, katika nchi ya Kanaani.+
10 lile shamba ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kutoka kwa wana wa Hethi. Hapo Abrahamu akazikwa, na pia Sara mke wake.+