Mwanzo 47:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kisha akamwambia: “Niapie.” Basi akamwapia.+ Ndipo Israeli akajilaza kifudifudi juu ya kichwa cha kitanda.+ Mathayo 5:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+ Waebrania 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana watu huapa kwa aliye mkubwa zaidi,+ na kiapo chao ndicho mwisho wa kila bishano, kwa kuwa hicho ni uhakikisho wa kisheria kwao.+
31 Kisha akamwambia: “Niapie.” Basi akamwapia.+ Ndipo Israeli akajilaza kifudifudi juu ya kichwa cha kitanda.+
33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+
16 Kwa maana watu huapa kwa aliye mkubwa zaidi,+ na kiapo chao ndicho mwisho wa kila bishano, kwa kuwa hicho ni uhakikisho wa kisheria kwao.+