Mwanzo 48:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha Israeli akamwambia Yosefu: “Tazama, ninakufa,+ lakini Mungu pasipo shaka ataendelea kuwa nanyi na kuwarudisha ninyi katika nchi ya mababu zenu.+ 1 Wakorintho 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vivyo hivyo pia katika Kristo wote watafanywa kuwa hai.+
21 Kisha Israeli akamwambia Yosefu: “Tazama, ninakufa,+ lakini Mungu pasipo shaka ataendelea kuwa nanyi na kuwarudisha ninyi katika nchi ya mababu zenu.+
22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vivyo hivyo pia katika Kristo wote watafanywa kuwa hai.+