43 Tena akampandisha katika gari la pili la heshima alilokuwa nalo,+ hata wapaaze sauti mbele yake, “Avrekh!” hivyo akamweka juu ya kila kitu katika nchi ya Misri.
29 Ndipo Yosefu akatayarisha gari lake, akaenda kumpokea baba yake Israeli huko Gosheni.+ Alipomtokea, akamwangukia shingoni mara moja, akalia shingoni pake tena na tena.+