Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 27:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Hata hivyo, Esau akaweka uadui kumwelekea Yakobo kwa sababu ya baraka ambayo baba yake alikuwa amembarikia,+ na Esau akaendelea kusema moyoni mwake:+ “Siku za kipindi cha kuomboleza baba yangu zinakaribia.+ Baada ya hizo nitamuua Yakobo ndugu yangu.”+

  • Mambo ya Walawi 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye.

  • Methali 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ufahamu wa mtu hakika hupunguza hasira yake,+ na ni jambo lenye kupendeza anapopita kosa.+

  • Methali 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mwovu hukimbia wakati hakuna anayemfuatilia,+ lakini waadilifu ni kama mwana-simba mwenye uhakika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki