Mathayo 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na utusamehe madeni yetu, kama vile ambavyo sisi pia tumewasamehe wadeni wetu.+ Mathayo 18:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Vivyo hivyo+ Baba yangu wa mbinguni atashughulika nanyi pia ikiwa kila mmoja wenu hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni mwake.”+ Luka 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jiangalieni ninyi wenyewe. Ndugu yako akitenda dhambi mkemee,+ na akitubu msamehe.+ Waefeso 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Bali iweni wenye fadhili+ ninyi kwa ninyi, wenye huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu pia kupitia Kristo alivyowasamehe ninyi kwa hiari.+
35 Vivyo hivyo+ Baba yangu wa mbinguni atashughulika nanyi pia ikiwa kila mmoja wenu hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni mwake.”+
32 Bali iweni wenye fadhili+ ninyi kwa ninyi, wenye huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu pia kupitia Kristo alivyowasamehe ninyi kwa hiari.+