Mwanzo 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi kila chenye mwili kilichokuwa kikitembea juu ya dunia kikakata pumzi,+ kati ya viumbe vinavyoruka na kati ya wanyama wa kufugwa na kati ya wanyama-mwitu na kati ya viumbe vyote vilivyokuwa vinazaana kwa wingi juu ya dunia, na wanadamu wote.+ Zaburi 104:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+
21 Basi kila chenye mwili kilichokuwa kikitembea juu ya dunia kikakata pumzi,+ kati ya viumbe vinavyoruka na kati ya wanyama wa kufugwa na kati ya wanyama-mwitu na kati ya viumbe vyote vilivyokuwa vinazaana kwa wingi juu ya dunia, na wanadamu wote.+
29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+