Methali 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mkono ujaposhikana na mkono, mtu mbaya hatakosa kupewa adhabu;+ lakini uzao wa waadilifu hakika utaponyoka.+ 2 Petro 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda Noa, mhubiri wa uadilifu,+ akiwa salama pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika+ juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu;
21 Mkono ujaposhikana na mkono, mtu mbaya hatakosa kupewa adhabu;+ lakini uzao wa waadilifu hakika utaponyoka.+
5 naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda Noa, mhubiri wa uadilifu,+ akiwa salama pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika+ juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu;