42 Nami nitalikumbuka agano langu pamoja na Yakobo;+ na hata agano langu pamoja na Isaka+ na hata agano langu pamoja na Abrahamu+ nitalikumbuka, nayo nchi nitaikumbuka.
9 “Jambo hili kwangu ni kama tu siku za Noa.+ Kama vile ambavyo nimeapa kwamba maji ya Noa hayatapita tena juu ya dunia,+ vivyo hivyo nimeapa kwamba sitakuwa na ghadhabu tena kukuelekea wewe wala kukukemea.+