Ayubu 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, mimi ni bahari au mnyama mkubwa wa baharini,Kwamba uweke mlinzi+ juu yangu? Zaburi 148:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msifuni Yehova kutoka duniani,+Enyi wanyama wakubwa wa baharini, nanyi vilindi vyote vya maji,+