Methali 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa la midomo,+ lakini mwadilifu hutoka katika taabu.+ Methali 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayefunika makosa anatafuta upendo,+ naye anayeendelea kuongea juu ya jambo anawatenganisha watu wanaofahamiana.+ Waefeso 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uasherati+ na ukosefu wa usafi wa kila namna au pupa+ visitajwe hata kidogo katikati yenu,+ kama inavyowafaa watu watakatifu;+
9 Anayefunika makosa anatafuta upendo,+ naye anayeendelea kuongea juu ya jambo anawatenganisha watu wanaofahamiana.+
3 Uasherati+ na ukosefu wa usafi wa kila namna au pupa+ visitajwe hata kidogo katikati yenu,+ kama inavyowafaa watu watakatifu;+