Mwanzo 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Basi Yakobo akararua nguo zake za kujitanda, akavaa nguo za magunia viunoni mwake, akamwombolezea mwana wake siku nyingi.+ Kutoka 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana hilo ndilo vazi pekee la kujifunika alilo nalo.+ Ndiyo nguo yake ya kujitanda ili kuifunika ngozi yake. Atalalia nini? Na itakuwa kwamba atanililia, nami hakika nitasikia, kwa sababu mimi ni mwenye neema.+
34 Basi Yakobo akararua nguo zake za kujitanda, akavaa nguo za magunia viunoni mwake, akamwombolezea mwana wake siku nyingi.+
27 Kwa maana hilo ndilo vazi pekee la kujifunika alilo nalo.+ Ndiyo nguo yake ya kujitanda ili kuifunika ngozi yake. Atalalia nini? Na itakuwa kwamba atanililia, nami hakika nitasikia, kwa sababu mimi ni mwenye neema.+