Ayubu 38:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Maji hujificha kana kwamba ni katika jiwe,Na uso wa kilindi cha maji hujigandisha.+ Methali 8:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Alipozitayarisha mbingu nilikuwako;+ alipoagiza mviringo juu ya uso wa kilindi cha maji,+