14 Nao wakazidi kuyafanya maisha yao yawe machungu kwa utumwa mgumu wa kutengeneza saruji ya udongo+ na matofali na kwa kila namna ya utumwa shambani,+ ndiyo, kila namna ya utumwa wao ambao kwa huo waliwatumia wakiwa watumwa chini ya uonevu.+
3 Alipokuwa hawezi tena kuendelea kumficha,+ akamchukulia safina ya mafunjo, akaipaka lami na bereu,+ akamweka mtoto huyo ndani yake na kuiweka katikati ya matete+ kando ya mto Nile.