2 Ndipo Sarai akamwambia Abramu: “Tafadhali sasa! Yehova amenifunga nisizae watoto.+ Tafadhali, lala na mjakazi wangu. Labda ninaweza kupata watoto kutokana naye.”+ Basi Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.+
19 Na, ijapokuwa hakudhoofika katika imani, alifikiria juu ya mwili wake mwenyewe, ukiwa sasa tayari umekufa,+ kwa kuwa alikuwa mwenye umri wa karibu miaka mia moja,+ pia hali ya kufa ya tumbo la uzazi la Sara.+
11 Kwa imani Sara+ mwenyewe pia alipokea nguvu ili kuchukua mimba ya uzao, hata alipokuwa amepita mpaka wa umri,+ kwa kuwa alimwona kuwa mwaminifu yeye aliyekuwa ameahidi.+