Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 27:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Vikundi vya watu na vikutumikie na vikundi vya mataifa vikuinamie.+ Uwe bwana wa ndugu zako, na wana wa mama yako na wakuinamie.+ Na alaaniwe kila mmoja wa wale wanaokulaani, na abarikiwe kila mmoja wa wale wanaokubariki.”+

  • Kutoka 23:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, ukiitii sauti yake kabisa na kwa kweli ufanye yote nitakayosema,+ basi hakika nitawaonyesha adui zako uadui na kuwasumbua wale wanaokusumbua.+

  • Hesabu 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Aliinama chini, akalala kama simba,

      Na, kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+

      Wale wanaokubariki ndio waliobarikiwa,+

      Nao wale wanaokulaani ndio waliolaaniwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki