29 Vikundi vya watu na vikutumikie na vikundi vya mataifa vikuinamie.+ Uwe bwana wa ndugu zako, na wana wa mama yako na wakuinamie.+ Na alaaniwe kila mmoja wa wale wanaokulaani, na abarikiwe kila mmoja wa wale wanaokubariki.”+
22 Hata hivyo, ukiitii sauti yake kabisa na kwa kweli ufanye yote nitakayosema,+ basi hakika nitawaonyesha adui zako uadui na kuwasumbua wale wanaokusumbua.+