Mwanzo 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi nchi haikuwaruhusu wakae wote pamoja, kwa sababu mali zao zilikuwa zimekuwa nyingi nao hawakuweza kukaa pamoja.+ Mhubiri 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pia kila mwanadamu ambaye Mungu amempa utajiri na mali,+ amempa hata na uwezo wa kula katika hizo+ na kuchukua fungu lake na kushangilia katika kazi yake ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+
6 Basi nchi haikuwaruhusu wakae wote pamoja, kwa sababu mali zao zilikuwa zimekuwa nyingi nao hawakuweza kukaa pamoja.+
19 Pia kila mwanadamu ambaye Mungu amempa utajiri na mali,+ amempa hata na uwezo wa kula katika hizo+ na kuchukua fungu lake na kushangilia katika kazi yake ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+