4 Basi wakampa Yakobo miungu yote ya kigeni+ iliyokuwa mikononi mwao na vipuli vilivyokuwa masikioni mwao, naye Yakobo akavificha+ chini ya ule mti mkubwa uliokuwa karibu na Shekemu.
30 Je, haiko upande wa Yordani kuelekea upande wa magharibi, katika nchi ya Wakanaani wanaokaa Araba,+ mbele ya Gilgali,+ kando ya ile miti mikubwa ya More?+