Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 47:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha wakamwambia Farao: “Tumekuja kukaa tukiwa wageni nchini,+ kwa sababu hakuna malisho kwa ajili ya makundi waliyo nayo watumishi wako,+ kwa maana njaa ni kali katika nchi ya Kanaani.+ Na sasa, tafadhali, waruhusu watumishi wako wakae katika nchi ya Gosheni.”+

  • Kumbukumbu la Torati 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Usimchukie Mwedomu, kwa maana yeye ni ndugu yako.+

      “Usimchukie Mmisri, kwa maana ulikuwa mkaaji mgeni katika nchi yake.+

  • Zaburi 105:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nao wakaendelea kutembea kutoka kwa taifa moja mpaka kwa taifa lingine,+

      Kutoka katika ufalme mmoja mpaka kwa kikundi kingine cha watu.+

  • Matendo 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, Mungu alisema hivi, kwamba uzao wake ungekuwa wakaaji wageni+ katika nchi ya kigeni+ na watu hao wangewafanya watumwa na kuwatesa kwa miaka mia nne.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki