Mwanzo 21:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kisha akapanda mkwaju huko Beer-sheba naye akaliitia hapo jina la Yehova,+ Mungu anayedumu mpaka wakati usio na kipimo.+ Isaya 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+ Waroma 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa.”+
33 Kisha akapanda mkwaju huko Beer-sheba naye akaliitia hapo jina la Yehova,+ Mungu anayedumu mpaka wakati usio na kipimo.+
4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+