Zaburi 83:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+ Waebrania 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kwa sababu Mungu amemwita jina, kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.+
18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+