Mwanzo 46:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hawa ndio wana wa Lea,+ aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, na binti yake Dina.+ Nafsi zote za wanawe na za binti zake zilikuwa ni 33. Yeremia 39:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Kwa maana bila shaka nitakuokoa, nawe hutaanguka kwa upanga; na hakika nafsi yako itakuwa kama nyara kwako,+ kwa sababu umenitegemea mimi,’+ asema Yehova.”
15 Hawa ndio wana wa Lea,+ aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, na binti yake Dina.+ Nafsi zote za wanawe na za binti zake zilikuwa ni 33.
18 “‘Kwa maana bila shaka nitakuokoa, nawe hutaanguka kwa upanga; na hakika nafsi yako itakuwa kama nyara kwako,+ kwa sababu umenitegemea mimi,’+ asema Yehova.”