Kutoka 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wakawaambia mara moja: “Yehova na awatazame ninyi na kuhukumu,+ kwa kuwa mmetufanya tunuke vibaya+ mbele ya Farao na mbele ya watumishi wake kwa kuutia upanga mkononi mwao watuue.”+ 1 Samweli 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe;+ na Yehova anilipizie kisasi+ kutoka kwako, lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako.+ Zaburi 43:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Unihukumu,+ Ee Mungu, Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+
21 Wakawaambia mara moja: “Yehova na awatazame ninyi na kuhukumu,+ kwa kuwa mmetufanya tunuke vibaya+ mbele ya Farao na mbele ya watumishi wake kwa kuutia upanga mkononi mwao watuue.”+
12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe;+ na Yehova anilipizie kisasi+ kutoka kwako, lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako.+
43 Unihukumu,+ Ee Mungu, Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+