21 Basi siku nane+ zilipotimia ili kumtahiri,+ akaitwa pia jina lake Yesu,+ lile jina aliloitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba katika tumbo la uzazi.+
5 nilitahiriwa siku ya nane,+ kutoka katika ukoo wa familia ya Israeli, wa kabila la Benyamini,+ Mwebrania aliyezaliwa kwa Waebrania;+ kwa habari ya sheria, Farisayo;+