Kutoka 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Sasa ikawa kwamba walipokuwa barabarani, mahali pa kulala,+ Yehova akakutana naye,+ naye akawa akitafuta njia ya kumuua.+ Hesabu 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa sababu ni neno la Yehova ambalo amedharau+ na ni amri yake ambayo amevunja,+ nafsi hiyo lazima itakatiliwa mbali.+ Kosa lake mwenyewe liko juu yake.’”+ Yohana 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ikiwa mtu anatahiriwa siku ya sabato ili sheria ya Musa isivunjwe, je, mnanikasirikia kwa sababu nilimfanya mtu awe na afya nzuri siku ya sabato?+
24 Sasa ikawa kwamba walipokuwa barabarani, mahali pa kulala,+ Yehova akakutana naye,+ naye akawa akitafuta njia ya kumuua.+
31 Kwa sababu ni neno la Yehova ambalo amedharau+ na ni amri yake ambayo amevunja,+ nafsi hiyo lazima itakatiliwa mbali.+ Kosa lake mwenyewe liko juu yake.’”+
23 Ikiwa mtu anatahiriwa siku ya sabato ili sheria ya Musa isivunjwe, je, mnanikasirikia kwa sababu nilimfanya mtu awe na afya nzuri siku ya sabato?+