Ayubu 33:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Tazama! Mimi ni kama wewe tu+ mbele za Mungu wa kweli;Mimi pia niliumbwa kutoka kwenye udongo.+ Isaya 64:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na sasa, Ee Yehova, wewe ni Baba yetu.+ Sisi ni udongo,+ nawe ni Mfinyanzi+ wetu; nasi sote ni kazi ya mkono wako.+
8 Na sasa, Ee Yehova, wewe ni Baba yetu.+ Sisi ni udongo,+ nawe ni Mfinyanzi+ wetu; nasi sote ni kazi ya mkono wako.+