Mwanzo 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Simama, mwinue huyo mvulana, umshike kwa mkono wako, kwa sababu nitamfanya kuwa taifa kubwa.”+ 1 Mambo ya Nyakati 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hizi ndizo asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu,+
29 Hizi ndizo asili za familia zao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi+ na Kedari+ na Adbeeli na Mibsamu,+