13 Kila mwanamume aliyezaliwa ndani ya nyumba yako na kila mwanamume aliyenunuliwa kwa pesa zako asikose kutahiriwa;+ na agano langu katika miili yenu ninyi wanaume lazima litumike likiwa agano mpaka wakati usio na kipimo.+
29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+