8 “Alimpa pia agano la tohara;+ na kwa hiyo akamzaa Isaka+ na kumtahiri siku ya nane,+ na Isaka akamzaa Yakobo, na Yakobo akawazaa wale vichwa vya familia kumi na wawili.+
11 Naye alipokea ishara,+ yaani, kutahiriwa, kuwa muhuri wa uadilifu kwa imani aliyokuwa nayo alipokuwa katika hali yake ya kutotahiriwa, ili yeye awe baba+ ya wale wote walio na imani+ wakiwa katika kutotahiriwa, kusudi wahesabiwe uadilifu;