Mwanzo 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Baadaye malaika wa Yehova+ akamkuta kwenye chemchemi ya maji nyikani, kwenye chemchemi iliyo njiani kuelekea Shuri.+ Waamuzi 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na malaika wa Yehova hakumtokea tena Manoa na mke wake. Ndipo Manoa akajua kwamba huyo alikuwa ni malaika wa Yehova.+ Matendo 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akasema: “Wanaume, akina ndugu na akina baba, sikieni. Mungu wa utukufu+ alimtokea babu yetu Abrahamu alipokuwa Mesopotamia, kabla ya kuanza kukaa Harani,+
7 Baadaye malaika wa Yehova+ akamkuta kwenye chemchemi ya maji nyikani, kwenye chemchemi iliyo njiani kuelekea Shuri.+
21 Na malaika wa Yehova hakumtokea tena Manoa na mke wake. Ndipo Manoa akajua kwamba huyo alikuwa ni malaika wa Yehova.+
2 Akasema: “Wanaume, akina ndugu na akina baba, sikieni. Mungu wa utukufu+ alimtokea babu yetu Abrahamu alipokuwa Mesopotamia, kabla ya kuanza kukaa Harani,+