Mwanzo 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi Abrahamu akasimama, akawainamia hao wenyeji,+ wana wa Hethi,+ Ruthu 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha akaanguka kifudifudi, akainama,+ akamwambia: “Nimewezaje kupata kibali machoni pako hivi kwamba natambuliwa, hali mimi ni mgeni?”+
10 Kisha akaanguka kifudifudi, akainama,+ akamwambia: “Nimewezaje kupata kibali machoni pako hivi kwamba natambuliwa, hali mimi ni mgeni?”+