Matendo 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi yeye na watu wa nyumbani mwake walipobatizwa,+ akasema hivi kwa kusihi: “Ikiwa ninyi mmeniona kuwa mwaminifu kwa Yehova, ingieni ndani ya nyumba yangu mkae.”+ Naye akatushurutisha kwelikweli.+
15 Basi yeye na watu wa nyumbani mwake walipobatizwa,+ akasema hivi kwa kusihi: “Ikiwa ninyi mmeniona kuwa mwaminifu kwa Yehova, ingieni ndani ya nyumba yangu mkae.”+ Naye akatushurutisha kwelikweli.+