Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+

  • Ezra 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hata hivyo, kwa sababu baba zetu walimkasirisha+ Mungu wa mbinguni, aliwatia+ mkononi mwa Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni, Mkaldayo,+ naye akaibomoa nyumba hii+ na kuwapeleka watu uhamishoni huko Babiloni.+

  • Zaburi 86:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na mwenye neema,+

      Si mwepesi wa hasira+ na ni mwingi wa fadhili zenye upendo na ukweli.+

  • Waebrania 12:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa maana Mungu wetu pia ni moto unaoteketeza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki