6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+
12 Hata hivyo, kwa sababu baba zetu walimkasirisha+ Mungu wa mbinguni, aliwatia+ mkononi mwa Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni, Mkaldayo,+ naye akaibomoa nyumba hii+ na kuwapeleka watu uhamishoni huko Babiloni.+