Ayubu 40:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Tazama! Nimekuwa kitu kisicho na maana.+Nitakujibu nini?Nimeuweka mkono wangu juu ya kinywa changu.+ Mathayo 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa. Luka 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninawaambia ninyi, Ijapokuwa hataamka ampe chochote kwa sababu ya kuwa rafiki yake, hakika kwa sababu ya kudumu kwake kwa ujasiri,+ ataamka na kumpa vitu anavyohitaji.
4 “Tazama! Nimekuwa kitu kisicho na maana.+Nitakujibu nini?Nimeuweka mkono wangu juu ya kinywa changu.+
7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa.
8 Ninawaambia ninyi, Ijapokuwa hataamka ampe chochote kwa sababu ya kuwa rafiki yake, hakika kwa sababu ya kudumu kwake kwa ujasiri,+ ataamka na kumpa vitu anavyohitaji.