Kutoka 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Musa akamwambia Yehova: “Nakuomba radhi, Yehova, lakini mimi si msemaji mzuri, tangu jana wala tangu kabla ya hapo wala tangu uliposema na mtumishi wako, kwa maana kinywa changu ni kizito na ulimi wangu ni mzito.”+ Zaburi 86:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utege sikio, Ee Yehova, kwa sala yangu;+Na uisikilize sauti yangu ya kusihi.+
10 Ndipo Musa akamwambia Yehova: “Nakuomba radhi, Yehova, lakini mimi si msemaji mzuri, tangu jana wala tangu kabla ya hapo wala tangu uliposema na mtumishi wako, kwa maana kinywa changu ni kizito na ulimi wangu ni mzito.”+