Ruthu 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye Boazi akaenda langoni+ na kuketi hapo. Na, tazama! yule mkombozi ambaye Boazi alikuwa amemtaja+ alikuwa akipita. Basi akasema: “Njoo, keti hapa, Fulani wa Fulani.” Basi akaja na kuketi. Esta 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi mabikira+ walipokusanywa pamoja mara ya pili, Mordekai alikuwa ameketi katika lango la mfalme.+
4 Naye Boazi akaenda langoni+ na kuketi hapo. Na, tazama! yule mkombozi ambaye Boazi alikuwa amemtaja+ alikuwa akipita. Basi akasema: “Njoo, keti hapa, Fulani wa Fulani.” Basi akaja na kuketi.
19 Basi mabikira+ walipokusanywa pamoja mara ya pili, Mordekai alikuwa ameketi katika lango la mfalme.+