23 Ndipo mwenye nyumba akatoka nje, akawaendea na kuwaambia:+ “Hapana, ndugu zangu,+ tafadhali msifanye jambo lolote baya, kwa kuwa mtu huyu ameingia nyumbani mwangu. Msitende upumbavu huu wenye kufedhehesha.+
7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+