Mhubiri 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kazi ngumu ya wajinga huwachosha,+ kwa sababu hakuna hata mmoja amekuja kujua jinsi ya kwenda jijini.+ Mathayo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+
15 Kazi ngumu ya wajinga huwachosha,+ kwa sababu hakuna hata mmoja amekuja kujua jinsi ya kwenda jijini.+
14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+