Zaburi 41:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova mwenyewe atamlinda na kumhifadhi hai.+Atatangazwa kuwa mwenye furaha duniani;+Nawe huwezi kamwe kumtia mkononi mwa nafsi ya adui zake.+ Zaburi 143:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa ajili ya jina lako,+ Ee Yehova, unihifadhi hai.+Katika uadilifu+ wako na uitoe nafsi yangu katika taabu.+
2 Yehova mwenyewe atamlinda na kumhifadhi hai.+Atatangazwa kuwa mwenye furaha duniani;+Nawe huwezi kamwe kumtia mkononi mwa nafsi ya adui zake.+
11 Kwa ajili ya jina lako,+ Ee Yehova, unihifadhi hai.+Katika uadilifu+ wako na uitoe nafsi yangu katika taabu.+