Mwanzo 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Akanywa divai na kulewa.+ Akajifunua katikati ya hema lake. Habakuki 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “ ‘Ole wake anayewapa wenzake kinywaji, akikishikamanisha na ghadhabu na hasira yako, ili kuwalewesha,+ kwa kusudi la kuzitazama sehemu zao za aibu.+
15 “ ‘Ole wake anayewapa wenzake kinywaji, akikishikamanisha na ghadhabu na hasira yako, ili kuwalewesha,+ kwa kusudi la kuzitazama sehemu zao za aibu.+