Isaya 58:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama ingekuwa hivyo wewe ungeita, na Yehova mwenyewe angejibu;+ ungelilia msaada, naye angesema, ‘Mimi hapa!’ “Ukiondoa katikati yako nira,+ kunyoosha kidole+ na kusema mambo yenye madhara;+ Yohana 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu, kwa sababu sikuzote mimi hufanya mambo yanayompendeza.”+
9 Kama ingekuwa hivyo wewe ungeita, na Yehova mwenyewe angejibu;+ ungelilia msaada, naye angesema, ‘Mimi hapa!’ “Ukiondoa katikati yako nira,+ kunyoosha kidole+ na kusema mambo yenye madhara;+
29 Na yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu, kwa sababu sikuzote mimi hufanya mambo yanayompendeza.”+