Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nami nitaufanya uzao wako uwe kama chembe za mavumbi ya dunia, ili, ikiwa mwanadamu angeweza kuzihesabu chembe za mavumbi ya dunia, basi uzao wako ungeweza kuhesabiwa.+

  • Mwanzo 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo akamtoa nje na kusema: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.”+ Naye akaendelea kumwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”+

  • Matendo 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ninyi ndio wana+ wa manabii na wa agano ambalo Mungu aliagana pamoja na mababu zenu, akimwambia Abrahamu, ‘Na katika uzao wako familia zote za dunia zitabarikiwa.’+

  • Wagalatia 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+

  • Waebrania 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 akisema: “Hakika nitakubariki, nami nitakuzidisha.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki