Ayubu 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Amechora mviringo juu ya uso wa maji,+Mpaka mahali ambapo nuru huishia katika giza. 2 Wakorintho 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi+ wenye utukufu juu ya Mungu kwa uso wa Kristo.+
6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi+ wenye utukufu juu ya Mungu kwa uso wa Kristo.+