9 Naye atafanya kaburi lake liwe pamoja na waovu,+ na pamoja na jamii ya matajiri katika kifo chake,+ ingawa yeye hakuwa amefanya jeuri+ wala hapakuwa na udanganyifu kinywani mwake.+
41 Ilitukia kwamba, mahali alipotundikwa mtini palikuwa na bustani, na katika bustani hiyo kaburi jipya,+ ambalo bado hakuna yeyote aliyekuwa amelazwa ndani yake.