Mwanzo 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Abramu alikuwa na utajiri mwingi wa mifugo na fedha na dhahabu.+ Wagalatia 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa sababu hiyo wale wanaoshikamana na imani wanabarikiwa+ pamoja na Abrahamu mwaminifu.+