Mwanzo 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Baadaye Harani akafa akiwa angali na baba yake Tera katika nchi ya kuzaliwa kwake, katika Uru+ la Wakaldayo.+ Mwanzo 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo akaongeza kumwambia: “Mimi ni Yehova, niliyekutoa katika Uru la Wakaldayo ili nikupe nchi hii uirithi.”+
28 Baadaye Harani akafa akiwa angali na baba yake Tera katika nchi ya kuzaliwa kwake, katika Uru+ la Wakaldayo.+
7 Ndipo akaongeza kumwambia: “Mimi ni Yehova, niliyekutoa katika Uru la Wakaldayo ili nikupe nchi hii uirithi.”+