Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baada ya hayo Yakobo akasema: “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu na Mungu wa baba yangu Isaka,+ Ee Yehova, wewe unayeniambia, ‘Rudi kwenye nchi yako na kwa watu wa jamaa yako nami nitakutendea vema,’+

  • 1 Wafalme 18:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na ikawa kwamba wakati+ wa kutolewa kwa toleo la nafaka, Eliya nabii akaanza kukaribia na kusema: “Ee Yehova Mungu wa Abrahamu,+ Isaka+ na Israeli,+ leo na ijulikane kwamba wewe ni Mungu katika Israeli+ na mimi ni mtumishi wako na ni kwa neno+ lako nimefanya mambo haya yote.

  • Mathayo 22:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+ Yeye ni Mungu, si wa wafu, bali wa walio hai.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki