1 Samweli 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nawe umwonyeshe mtumishi wako fadhili zenye upendo,+ kwa maana umemwingiza mtumishi wako pamoja nawe katika agano+ la Yehova. Lakini kama kuna kosa ndani yangu,+ wewe mwenyewe niue, kwa nini kunipeleka kwa baba yako?” Zekaria 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Fanyeni hukumu kwa haki ya kweli;+ na mtendeane kwa fadhili zenye upendo+ na rehema;+
8 Nawe umwonyeshe mtumishi wako fadhili zenye upendo,+ kwa maana umemwingiza mtumishi wako pamoja nawe katika agano+ la Yehova. Lakini kama kuna kosa ndani yangu,+ wewe mwenyewe niue, kwa nini kunipeleka kwa baba yako?”
9 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Fanyeni hukumu kwa haki ya kweli;+ na mtendeane kwa fadhili zenye upendo+ na rehema;+