Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo akamwingiza ndani ya nyumba yake,+ akawatupia wale punda chakula cha mchanganyiko.+ Kisha wakaosha miguu yao,+ wakaanza kula na kunywa.

  • Luka 7:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ndipo akamgeukia yule mwanamke na kumwambia Simoni: “Unamwona mwanamke huyu? Niliingia katika nyumba yako; wewe hukunipa maji+ kwa ajili ya miguu yangu. Lakini mwanamke huyu ameilowesha miguu yangu kwa machozi yake na kuyafuta kwa nywele zake.

  • 1 Timotheo 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 mwenye kutolewa ushahidi juu ya matendo yaliyo mazuri,+ ikiwa alilea watoto,+ ikiwa alipokea wageni,+ ikiwa aliosha miguu ya watakatifu,+ ikiwa aliwasaidia wale walio katika dhiki,+ ikiwa alifuata kwa bidii kila tendo jema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki